Updated News to your hands? Contact Us Join us!
Posts

Je, ni wakati muafaka kwa kikosi cha Afrika kuondoka Somalia? - Fastestsmm News Swahili

Je, ni wakati muafaka kwa kikosi cha Afrika kuondoka Somalia? - Fastestsmm News Swahili

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha,

Wanajeshi wa AMISOM Somalia

Kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika nchini Somalia, kimekabidhi kambi tatu kwa jeshi la Somalia kama sehemu ya hatua ya kuanza kuwaondoa wanajeshi wote wa Umoja huo.

Chini ya mpango huo, Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS), kitaondoa wanajeshi elfu mbili ifikapo kesho tarehe 30 Juni kutoka katika kambi zake za Somalia.

Shughuli hizi za kuondoa wanajeshi ni kwa mujibu wa ratiba ambayo Somalia na washirika wake wa kiulinzi na kiusalama wamekubaliana.

Itakumbukwa kuwa AMISOM imekuwa Somalia kuanzia, 2007 kabla ya hapo mwaka 2006 kulikuwa na kikosi cha nchi za pembe mwa Afrika - IGAD. AMISOM imekuwepo mwaka huo hadi mwezi wa nne mwaka jana kabla ya kubadili jina - ATMIS.

[ad_2] #wakati #muafaka #kwa #kikosi #cha #Afrika #kuondoka #Somalia #Fastestsmm #News #Swahili
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.