Updated News to your hands? Contact Us Join us!
Posts

Je, wajua kazi 10 za siku zijazo ni zipi? - Fastestsmm News Swahili

Chanzo cha picha, Getty Images

Ajira ambazo zitahitajika zaidi katika siku zijazo huenda tayari zimebainika.

Licha ya hofu kwamba kukua kwa kiteknolojia kutamaliza sehemu kubwa ya kazi, wataalam wanakadiria kasi kubwa ya kuibuka kwa nafasi mpya za kazi.

"Sote tumeshuhudia kinachoendelea kwa kutumia akili bandia na jinsi teknolojia hiyo inavyokuwa kwa haraka katika tasnia mbalimbali," alisema Saadia Zahidi, mkurugenzi mtendaji wa Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) na mkuu wa Kituo cha Uchumi Mpya na Jamii ya Jumuiya ya Mashirika ya Kimataifa.

Ingawa fani mbili zinazoibuka na ambazo zinakadiwa kukuwa kwa kasi ya juu zaidi katika miaka mitano ijayo ni ya wataalamu wa akili bandia na wataalam wa kujifunza mashine, kulingana na WEF, kuna fursa zingine za kazi ambazo pia zinatarajiwa kujitokeza.

[ad_2] #wajua #kazi #siku #zijazo #zipi #Fastestsmm #News #Swahili https://fastest-smm.com/je-wajua-kazi-10-za-siku-zijazo-ni-zipi-bbc-news-swahili/?feed_id=144501&_unique_id=64afe60033834
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.