Updated News to your hands? Contact Us Join us!
Posts

Kipi tunakijua kuhusu mkutano wa Putin na mkuu wa Wagner baada ya uasi? - Fastestsmm News Swahili

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha,

Vinyago vya uso vinavyoonyesha mkuu wa Wagner Yevgeny Prigozhin na Rais wa Urusi Vladimir Putin vinauzwa katika soko la ukumbusho huko St Petersburg mwezi uliopita.

Siku tano baada ya uasi wa mamluki wa Wagner wakiongozwa na Yevgeny Prigozhin, mkutano umefanyika kati yake na Rais wa Urusi Vladimir Putin, kulingana na kauli ya kile Kremlin.

Hebu tuende moja kwa moja kwenye habari yenyewe. Asubuhi ya Juni 24, siku ya uasi, Putin alimsuta kiongozi wa Wagner kwa uhaini na usaliti. Baadaye mchana, wapiganaji wa Wagner waliangusha ndege za Jeshi la Wanahewa la Urusi, na kuwaua marubani wawili.

Baada ya hapo, wakati mamluki wa Wagner wakiwa kilomita 200 tu kutoka mji mkuu, Moscow, Kremlin iliingia makubaliano na mamluki hawa, kukomesha uasi, bila kumkamata mtu yeyote, wala kumwajibisha mtu yeyote kisheria.

Kwa maana hiyo, Yevgeny Prigozhin hakutiwa pingu, wala hakukamatwa kama adhabu ya uasi wake.

[ad_2] #Kipi #tunakijua #kuhusu #mkutano #Putin #mkuu #Wagner #baada #uasi #Fastestsmm #News #Swahili https://fastest-smm.com/kipi-tunakijua-kuhusu-mkutano-wa-putin-na-mkuu-wa-wagner-baada-ya-uasi-bbc-news-swahili/?feed_id=144701&_unique_id=64b004077da00
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.