Updated News to your hands? Contact Us Join us!
المشاركات

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 07.07.2023: Onana, Hojlund, Caicedo, Bonucci, Timber, Hojbjerg - Fastestsmm News Swahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 07.07.2023: Onana, Hojlund, Caicedo, Bonucci, Timber, Hojbjerg - Fastestsmm News Swahili

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha,

Kipa wa Inter Andre Onana

Manchester United wanakaribia kumsajili kipa wa Inter Andre Onana, 27, baada ya kuafikiana na mchezaji huyo wa kimataifa wa Cameroon. (Fabrizio Romano)

The Red Devils pia wanapanga kumnunua mshambuliaji wa Atalanta na Denmark Rasmus Hojlund, 20 kwa pauni milioni 50. (Telegraph).

Chelsea italazimika kulipa zaidi ya pauni milioni 100 ikiwa wanataka kumsajili kiungo wa Brighton na Ecuador Moises Caicedo, 21, msimu huu wa joto (Telegraph).

Newcastle wanajiandaa kumnunua beki mkongwe wa Italia na Juventus Leonardo Bonucci, 36, ili kuongeza uzoefu katika kampeni yao ijayo ya Ligi ya Mabingwa. (TEAMtalk)

[ad_2] #Tetesi #Soka #Ulaya #Ijumaa #07.07.2023 #Onana #Hojlund #Caicedo #Bonucci #Timber #Hojbjerg #Fastestsmm #News #Swahili
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.