Updated News to your hands? Contact Us Join us!
Posts

Vladimir Putin asema viongozi wa uasi wa Wagner 'watachukuliwa hatua za kisheria - Fastestsmm News Swahili

Chanzo cha picha, Getty Images

Rais wa Urusi Vladimir Putin amewashutumu viongozi wa maasi ya Wagner wikendi iliyopita kwa kutaka "kuiona Urusi ikizongwa na mapigano ya umwagaji damu".

Katika hotuba fupi iliyojaa salfa Bw Putin aliapa kuwafikisha waandalizi wa uasi "kwenye mizani ya haki".

Lakini aliwaita wanajeshi wa kawaida wa Wagner "wazalendo" ambao wangeruhusiwa kujiunga na jeshi, kwenda Belarusi au kurudi nyumbani.

Hakumtaja moja kwa moja bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin, ambaye awali alikana kujaribu kuupindua utawala wa Bw Putin.

[ad_2] #Vladimir #Putin #asema #viongozi #uasi #Wagner #watachukuliwa #hatua #kisheria #Fastestsmm #News #Swahili https://fastest-smm.com/vladimir-putin-asema-viongozi-wa-uasi-wa-wagner-watachukuliwa-hatua-za-kisheria-bbc-news-swahili/?feed_id=143413&_unique_id=64af3a7286635
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.